Mpini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025
  • Amos Mwijonge,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
    katika kazi hii, amegusa hisia za undani kuhusu hali ambayo wengi wetu tumeipitia au tunaifahamu kwa namna moja au nyingine. Kwa kutumia mfano wa shoka na mpini wake, kuna ujumbe unaojitokeza kuhusu uhalisia na namna ambavyo mambo yanavyoweza kuwa tofauti na jinsi tunavyoyaona. Ni kazi inayokuacha ukiwa na tafakari kuhusu mahusiano yetu na wale tunaowapa nafasi karibu, na pengine hata kutufundisha kuwa makini zaidi.
    Shot by: Erick Dickson,
    Cast: Dionis Dominick,
    Sound by: Dayzoo
    Script: Naxy Pappy
    Location: Kuya

Комментарии • 48

  • @aderappermusicke913
    @aderappermusicke913 2 месяца назад

    Kazi nzuri mwamba, Baraka tele tokea Bara 🇰🇪. Siku zote twashukuru kwa nasaha.

  • @ESPOIRDJ-d8t
    @ESPOIRDJ-d8t 4 месяца назад

    asante mwalimu 🎉🎉🎉🎉😂

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika7538 5 месяцев назад +1

    ❤ mfano ni moyo wangu,ok kila usaliti uanza na Imani

  • @YOoboyMLuckson
    @YOoboyMLuckson 5 месяцев назад

    Dhaah
    Mwalimu😮😮
    Maneno yako nimagumu kiasi ila niyenye maana sana
    Maisha marefu sana🙏

  • @joowzeyboyjoowzee4474
    @joowzeyboyjoowzee4474 5 месяцев назад +3

    Ubora wakazi zako unatusaidia sana kwene maisha yetu

  • @mosseschalloh
    @mosseschalloh Месяц назад

    Point kubwa 🎉

  • @hassanshabankombo423
    @hassanshabankombo423 5 месяцев назад

    Ndiyooooo mwalimu

  • @laxmajor
    @laxmajor 5 месяцев назад +2

    Oyaaa eee nakubl 👑

  • @kilavorasuol3444
    @kilavorasuol3444 5 месяцев назад +13

    Code ya leo ngumu sana asee 🥲

  • @davidmwandalima2389
    @davidmwandalima2389 4 месяца назад

    Huyu genius nakubali sasa

  • @chuvalous
    @chuvalous 5 месяцев назад +3

    Nimekupata thabiti bwana mkubwa Mwijonge Hongera sana.

  • @IddyNgaleni-zr2no
    @IddyNgaleni-zr2no 2 дня назад

    Nakukubali san kaka

  • @KelvinKifyoga
    @KelvinKifyoga 5 месяцев назад +1

    Binafsi cjakuelewa mwalimu ulichomaanisha nitoe gizani❤❤❤

  • @Emmanuel-b4g1n
    @Emmanuel-b4g1n 5 месяцев назад +3

    Bw.Amos ume ya badilisha maisha yangu kabisa n pakubwa acha Mungu akupe neema nipo Mombasa Kenya 🇰🇪🙏

    • @NuruelyUrio
      @NuruelyUrio 4 месяца назад

      Anafanya mambo mazuri sana

  • @RenoByser
    @RenoByser 4 месяца назад

    Daaaah kweli kaka

  • @MedsonStarlon
    @MedsonStarlon 5 месяцев назад

    Nakuelewa sana mwalimu wangu, Amos mwijonge 🙌

  • @akimfad5
    @akimfad5 5 месяцев назад +3

    Mwalimu wangu❤❤
    Nipe like za wa kongomani DRC

  • @stewardmbena3737
    @stewardmbena3737 5 месяцев назад +1

    Ngoja nilale nimesha tibu akili zangu Asante mwalimu Amosi mwijonge 🤸🤸🛌🛌🛌🛌

  • @clevermziho7876
    @clevermziho7876 5 месяцев назад

    Asant sna nimepata kitu

  • @NyoxybMapunda
    @NyoxybMapunda 5 месяцев назад

    Imekaa poa mzee

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 5 месяцев назад

    AhsaNte kwa Elimu Ubarikiwe sanaa Kwamafundishi 🙏 Mwalimu Amosi mwijonge

  • @kiawambui606
    @kiawambui606 3 месяца назад

    Apah kweli uncle...

  • @jacksonseleman_
    @jacksonseleman_ 5 месяцев назад +1

    Ujumbe Mzito na mzuri.. Mungu akubariki brother

  • @abdallahally9293
    @abdallahally9293 5 месяцев назад +4

    Walio hai huwafumba macho waliokufa, lkn waliokufa huwafumba macho waliolala ❤

  • @reubenkariuki6637
    @reubenkariuki6637 5 месяцев назад +1

    Kazi safi na shati safi

  • @meshackngadango6855
    @meshackngadango6855 5 месяцев назад

    Good work

  • @IsayaLaison
    @IsayaLaison 5 месяцев назад +1

    Ukweri mchunguuu❤❤❤

  • @SamuelThoya-k5w
    @SamuelThoya-k5w 2 месяца назад

    Bunduki haiuwi, watu ndio wanaua

  • @frankmwaikambo9784
    @frankmwaikambo9784 5 месяцев назад

    Mwalimu wangu Amos

  • @georgempena1377
    @georgempena1377 5 месяцев назад

    Mungu akupe maisha marefu classmate wangu

  • @samwaukwelimwana3066
    @samwaukwelimwana3066 5 месяцев назад +2

    Usinipe pole nipe haki...nimekusoma mkakaa😂

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 5 месяцев назад +2

    Familia yetu

  • @sinemazamusasa3428
    @sinemazamusasa3428 5 месяцев назад +2

    Elewa neno mpini

  • @Thabit-dg2se
    @Thabit-dg2se 5 месяцев назад +2

    Kazi nzuri

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 5 месяцев назад +1

    Nakupata vilivyo Kiongozi

  • @RenoByser
    @RenoByser 4 месяца назад

    Kaka amosi uko vizuli

  • @RaphaelPeter-msimbe
    @RaphaelPeter-msimbe 3 месяца назад

    Umetumia code ngumu🤣

  • @ahmedsa3374
    @ahmedsa3374 5 месяцев назад +1

    Mpini

  • @BarakaElly-h6x
    @BarakaElly-h6x 3 месяца назад

    mwalim code yaleo ngumu sana🤔

  • @danielmsolwa3073
    @danielmsolwa3073 5 месяцев назад +2

    Mwalimu Hilo shoka umechukua lile la Babu kishoka wa wrong house 😂😂😂

    • @gideonmollel4173
      @gideonmollel4173 4 месяца назад

      Akili zako haina akiliiiii ahhhahahahhahahaha

  • @bushimani1544
    @bushimani1544 5 месяцев назад +1

    Gd

  • @salisamata3201
    @salisamata3201 5 месяцев назад +3

    Kaka akika ongera unaumiza ubongo kufikili masomo mapya Kila siku nauzuli matamshi ayajiludii kwaapo tu ongera

  • @salumunalee3026
    @salumunalee3026 5 месяцев назад

    Hii code ya leo aisee

  • @asumantsongo323
    @asumantsongo323 5 месяцев назад

    Asante sana

  • @francislumeya7020
    @francislumeya7020 26 дней назад

    Amos mbona siku hizi hupost Tena?

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 5 месяцев назад +1

    Familia yetu